Showing posts with label music. Show all posts
Showing posts with label music. Show all posts

Friday, May 11, 2018

Mkali wa RNB Craig David karudi kwa kasi na Magic

Kwa watu ambao ni wafuatiliaji wa muziki hususani nyimbo za miaka ya nyuma basi ukitaja jina la Craig David huwezi kuliacha kwenye orodha ya wasanii wa muziki wa R’n’B wakali duniani.

Craig kutoka Uingereza, amerudi kwa kuachia video ya wimbo wake mpya wa MAGIC ambao amemshirikisha Baney Boy.
Kwa mwaka 2018 tayari mkongwe huyo ameachia ngoma mbili mbali na ngoma yake mpya ya Magic, ameachia pia  ‘I know You’ na ‘Live in the moment’ .
Craig David alishawahi kutamba miaka ya nyuma na ngoma kama Walking Away, Seven Days na nyingine kali.

Video mpya: ROSTAM X "Kharigraph Now you Know"


Msanii wa Hip Hop kutoka Kenya, Khaligraph Jones ameachia video ya ngoma mpya iitwayo ‘Now You Know’ ngoma hii amefanya kwa kushirikiana na kindi la muziki wa Hip Hop Bongo Rostam

POPULAR EXCURSIONS IN ZANZIBAR ISLAND

Safari blue is the most popular excursion in Zanzibar Island, it's a full day sea Adventure with lunch, snorkling, and enjoying the ...